Sunday, November 10, 2013

MAKARIBISHO YA BALOZI MPYA WASHINGTON DC




Rais wa Jumuia ya DMV akifungua Mkutano kumkaribisha Balozi



VIONGOZI WA JUMUIA JUU WAKIMKARIBISHA BALOZI MPYA


Balozi akiwa amekaa kwenye mezaa kuu.

BALOZI akitoa hotuba yake ya kutaka Watanzania kushikamana kuiimarisha Jumuia yao na kulipia unachama  na kutoa michango yeye akiwa Mwanachama mpya pia 

Wanachama wakimsikiliza Balozi mpya.


Mwenyekiti wa Zanzibar Diaspora  Omar Ally akitoa salamu kwa Wana jumuia.


Friends of Tanzania Association akitoa salamu zao



Kiongozi wa Southern community  akijitambulisha kwa Watanzaia 

BALOZI AKIWA NA  WATANZANIA 


Raisi wa DMV , Balozi na Mwenyekiti wa Diaspora .

 Balozi Mpya na Mshereheshaji wa shughuli Sunday Shomari

Mr charahani akiangalia utaratibu wa vinywaji.


DIDI VAVA AKIFANYA VITU VYAKE KWENYE CORNER  YA VINYWAJI


MAKULATI YA KUMWAGA  JUMUIA ILIJITAYARISHA VYA KUTOSHA



Balozi akilishwa keki na Rais wa Watanzania 


Balozi akicheza muziki kufurahia na Wanajumuia .


No comments:

Post a Comment